Wednesday, 2 March 2016

BADHI YA DALILI ZA KUA NA JINI MAHABA AU KASHKASH NDAN YA MWILI WA MWANADAMU

Bwana Yesu apewe sifa wapendwa!!!

1)  kuwashwa washwa mwilini kama vitu vinakutembea tembea
2) kuwaka tama sana ya ngono pindi unapokua peke yako lakin unapokua na mweza wako hamu hutoweka. Mwanaume hupoteza nguvu.
3) kuhisi au kuota unalala na mtu kitandani
4) Mwili kusisimuka mara kwa mara hasa sehemu kuanzia kiunoni kushuka chini.
5) Kutamani kua na mweza wako pindi anapokua mbali lakin akiwa karibu humchukia bila sababu za msingi.
6) Kua na hasra sana bila hata sababu za msingi
7) Kuwa na hali ya kutojali au kuthaminni wengine umimi na kujiona wa thamani peke yako kuliko wengine.
8) Kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki anakufanya ufanye mambo yakuchukiza wengine
9) Kujiona mtu mwenye mikosi nuksi na balaa tupu
10) Kuvurugika kwa mipango/ mambo yako/ hasa ya maendeleo na kila unachopanga hushindikana hata kama ukisaidiwa na mwisho hujiona hufai
11) Kuumwa kichwa pindi wakat unasoma Biblia au masomo ya kawaida
12) Kutokujisikia kuomba au kusinzia pindi unapotaka kuanza maombi, huishiwa nguvu kabisa, Na kuishia kuhangaika kama mtu asiyejua lakufanya
13) Kuota lbada zisizoeleweka
14) Kuota ndoto za kutisha kama unafukuzwa na watu, Mnyama , Nyoka au kuota unaanguka kwenye shimo lefu lakin hufiki chini, Mafuriko ya maji mengi na wakat mwingine maji haya huwa machafu na ndani yake kua na nyoka
15) Kuota upo kando kando ya bahari, katka mto, au porini, Sherehe za harusi, harusi au ya mtu usiyemjua lla mnakula
16) kuota una mimba au unajifungua, una mtoto
17) Kujisikia umechoka masaa yote, na kutamani kulala masaa yote kutokujisikia kufanya chochote. Kuhisi uzito wa mwili kama umebeba kitu kizito
17)  Maumivu chini ya kitovu kwa akina mama au katka mji wa uzazi
18) Kusikia maumivu makari wakat wa tendo la ndoa kwa akina mama
19) Kujihisi unaingiliwa na mwanaume au unalala na mwanamke mara kwa mara
20) Mimba kuharibika bila sababu za msingi, Kufunga hedhi bila sababu. Hizi tu ni badhi ya dalili za kuwepo jini mahaba ndani ya mwanadamu, sio lazma uwe nazo zote hapana, lakin pia sio hizi peke yake zipo nyingi sana. Na ndio maana Biblia lnatuhimiza kuulinda moyo kuliko kito chochote kile Mithali 23:26. Ukishindwa kuulinda moyo wako nirahisi sana kutawaliwa na jini Mahaba au kashikashi, na madhara yakutawaliwa na viumbe hawa ni makubwa sana. Itaendelea  kichwa NAMNA YA KUMFUNGUA MWENYE PEPO MAHABA AU KASHIKASHI.
Samuel M Mendulo
Samendulo@gmail.com
Namba +255656995917

0 comments:

Post a Comment