Wakorintho 6:19-20
Au hamjui kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Mlinunuliwa kwa thamani kubwa bas sasa mtukuzeni Mungu katka miiili yenu.
Kitendo cha kumkana shetani nakumchagua Yesu kua Bwana na mokozi wa maisha yako Unafanyika kua hekalu la Roho Mtakatifu, kwakua huyo Roho anaanza kuishi ndani yako, mtu ambaye amempokea Yesu haimpaswi kutenda dhambi kwakua unapompokea Yesu mwili wako unakufa na roho yako lnafufuka, kwamaana mtu asimjuwa Mungu anaongozwa na mwili, lakin mtu anayemjua Mungu huongozwa na Roho. Ndani ya Mtu kunna vitu vitatu Mwili, Roho, Na Nafsi. Shetani anasmama katka mwili, wakat Mungu anakaa katka Roho vitu hivi viwili Mungu na shetani wanapigana vita kwa ajili ya Nafsi, kwakua ndani ya Nafsi ndiko kuna uhai, ufahamu, utashi, na aKili, lakin pia Maamuzi ya jambo lolote.
MAPIGANO YA MWILI NA ROHO.
kwakua sababu mwili hutaman ukishindana na roho na roho hushindana na mwili, kwa maana hiz zinapigana hata hamwez kufanya mnayotaka. Wagalatia 5:17
Mtu ana mwili , nafsi na roho, mwili ni udongo uliyopuliwa pumzi nakuwa hai, baada ya mtu kufa hurudia hali yake ya udongo. Lakin Roho hii lmetoka kwa Mungu, nayo lnatabia ya uMungu. Na hii roho ndio mwanadamu atakayeishi milele, lwe ni mbinguni au Jehanamu hiyo ltategemea matendo yako ulipokua dunian ulikua unafanya nin
Kwamaana Roho lnatabia yakuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwakua lnajua lsipoishi maisha yakumpendeza Mungu mwisho wake ni Jehanamu.
Lakin tunda la roho ni upendo, furaha, amanu, uvumilivu, utu wema, fadhiri, uaminifu, upole kiasi, juu ya mambo kama hayo hakuna sheria Wagalatia 5:22-23
Mwili unafahamu yakua mwisho wake ni hapa hapa dunian, hivyo mwili hutamani ya dunia zaid na shetani naye huuteka mwili ili kulazimisha nafsi kutenda dhambi. Mwili hauna juhudi yoyote yakuifanikisha roho kwenda mbinguni, na ndio maana kuna ushindani mkubwa kati ya mwili wenye tabia zadunia, na roho yenye tabia za mbingu.
Basi matendo ya mwili ni dhahiri ndyo haya Uasherati,, uchafu, ufisadi, lbada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu hasra, fitina faraka, uzushi, husuda...... endelea Wagalatia 5:19-20.
Hivyo mwili unataka matendo ya mwili ndio yatendeke wakat roho lnataka matendo roho ndio yatendeke. Biblia lnasema atendaye dhambi ni wa lbilisi, kwa maana matendo ya KiMungu ni mema kama lilivyo tunda la roho.
KAA UKIJUA HILI
Vita vya kiroho havipo mbali vipo ndani yako kat ya mwili na roho, kwa maana yakwamba roho lkiushinda mwili katka matendo Mungu anachukua nafasi ndani yako, hivyo lile tunda la roho linageuka Roho Mtakatiifu ambaye anamuru naffsi kutenda yaliyo mema kila ukitaka kkutenda mabaya Roho mtakatifu anakujulisha kuhusu jmbo hilo baya hivyo ndani yako unakua na Hofu ya Mungu huwezi kutenda dhambi.
Lakin mwili ukishinda roho shetan anaingia ndani yako hivyo analeta mawakala wake ndani yako, kama mapepo wa baya au majini, hivyo viumbe hawa wanaingoza nafsi kutenda maovu. Kwamaana nafsi lnakua lmetekwa na matokeyo yake ni dhambi. Kwa maana mtu anakua katka hali yakutojielewa kwamaana anaongozwa na roho waovu hawa. Anachofanya shetani anapanda jambo ndani ya mtu, anaweza kuweka roho ya ujambazi, ushoga, Uzinzi, unafiki na mengineyo Mungu awabariki sana.
Samuel M Mendulo.
Samendulo@gmail.com.
facebook Samuel Mendulo.
Namba +255656995917
0 comments:
Post a Comment