Wapendwa katika Kristo,tunapenda kuwafahamisha kuwa kutokana na kuanza kwa kipindi cha Kwaresma,ratiba ya maombi mabibo imebadilika badala ya ijumaa saa kumi na nusu,maombi yatakuwa yanafanyika kila jumatatu mda ule ule ili kuwaruhusu wenzetu wakatoliki waweze kuhudhuria ibada ya njia ya msalaba kila siku ijumaa.
<<<...TUNAWATAKIA MFUNGO MWEMA WA KWARESMA....>>>
Wednesday, 10 February 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment