Monday, 8 February 2016

Leo natamani mpate somo zuri

Mwana WA mungu Kuna hatua Tatu za ukuaji 1 kuwa mtoto kiroho 2 mwana wa mungu 3 kuwa mlithi na mwana wa mungu 1 kuwa mtoto kiroho yohana 1:12-13 Wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa watoto wa mungu, Kwahiyo hii ni atua ya kwanza ya wokovu unapompokea yesu una kuwa mtoto inabidi ukae chini ufundishwe katika mambo ya mungu akuna habari za kuibuka hapana lazima ufundishwe ndio usimame ukiwa kama mtoto mungu uwa anakupa msahada mwingi maana kama kuku anavyo angalia watoto wake ndivyo mungu anavyo kuangalia wewe Pia sipendi mkose katika huu mstali WA kumi na Tatu Mahana awakuzaliwa kwa mapenz ya MTU wala ya mwili Bali mungu Kuna watu wengine wanaomba kwa akili zao wenyewe mtu anayaona yanamzunguka ndio anaomba Hayo ni mapenzi ya mwili wengine wamezaliwa kwa mapenzi mtu Wengi wameenda kwa waganga WA kienyeji ili kupata watoto harafu wanasema wamepewa na mungu ilo hakuna hayo ni mapenz ya mganga WA kienyeji uwezi kusema unaenda kwa mganga harafu unasema aliyejibu mungu huo ni uongo na mtoto hatakaye zaliwa hatakuwa nusu mtu nusu shetani Ngoja tuangalie kuwa mwana wa mungu Warumi 8:14 Wanaoongozwa na roho wa mungu hao ndio wana wa mungu 1,roho wa awezi kukuongoza kwenye uzinzi wengi wa wamefanya dhambi wamesema wameongozwa mungu awezi kukuongoza kwenye dhambi 2,wengi wamesimamia maandiko kusema kusema mungu ametuongoza kumbe uongo,kunywa pombe na kusema yesu alitengeneza pombe,kutumia maandiko kwenye uzinzi na kusema hata ibrahimu alifanya kwa mjakazi wake na ruksa hakiona mkewe hazai unapoongozwa na mungu unaenda mema tena roho wa uwangoongoza watu wake kwenye kufanya huduma yohana 14:12-14 Ukijaa roho mtakatifu utafanya vitu kwa mapenzi yako mwenyewe Tutaendelea,,,

1 comments:

  1. Enter your comment...ubarikiwe sana nabii wa Bwana kwa somo zuri

    ReplyDelete