Monday, 25 January 2016
Sunday, 24 January 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)
Kama paa atamanivyo maji ya kijito,ndivyo ninavyokutamani ee Mungu wangu...!!.
Naona kiu ya Mungu,kiu ya Mungu alie hai,nitafika lini kwake na kuuona uso wake..?.
Machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku,waliponiambiakila siku 'yuko wapi Mungu wako?'.
Nakumbuka tena mambo haya kwa majonzi moyoni mwangu:Jinsi nilivyokwenda na umati wa watu,nikawaongoza kwenda nyumbani kwa Mungu wakipiga vigelegele vya shukrani;umati wa watu wakifanya sherehe!.
Mbona nasononeka hivyo moyoni? Kwa nini nahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamtumainia Mungu, maana nitamsifu tena yeye aliye msaada wangu na Mungu wangu