Friday, 4 March 2016

KUSONGA MBELE LAZIMA.








SHALOM!!!
Ninamshukulu Mungu aliyeumba mbingu na nchi kwakua ameifanya siku ya leo, Naye ameniamsha vyema kabsa, Sifa na utukufu ni kwako Bwana Mungu wa majeshi uliye muweza wa yote Amen.
Mpendwa katka Kristo Yesu karibu Tujifunze jambo kwakua sote tumefanyika wanafunzi wa Yesu.


Yamkini upo katka hali ambayo bado hujapata majibu yakwamba mwisho wake nin juu ya jambo ambalo linakutatiza. Katka maisha kuna mapito mengi, majaribu nayo nimengi, lakin kwa jina la Yesu ninakwambia
KUSONGA MBELE LAZIMA
huenda usielewe kwanini ninasema kusonga mbele lazma, lakin nikwakua wewe sio wa kwanza kupitia magumu, mapito na majaribu unayopitia, walikuwepo watu walipitia magumu na mateso mengi lakin kwa msaada wa Bwana waliweza kushinda. Hata kama ni vita ya kiroho lazma ujuwe kwamba ni mpila peke na michezo mingine ndio wanaweza kupata droo kwa maana ya kutofungana, au kufungana magoli yaliyo sawa, lakin vita ya kiroho lazma awepo mshindi na siku zote Elishadai Jehova ndio Mungu asiye shindwa. Haleluyaaaaaa!!!!!
Biblia katka kitabu cha Kutoka 14:11-16 lnatueleza habar za wana wa lsrael na jeshi la Farao, wana wa lsrael waliona bahari ya shamu mbele yao, Nao walikata tama walijua mwisho wao umefika, Ndipo wakanung'unika mbele ya Musa. Wakasema mstr wa 11 Kwasababu hapakua na makaburi katka Misri umetutoa huko ili tufe jangwani? Mpendwa nawe huenda unajiuliza maswali mengi juu ya hatma yako, huenda umefika wakat unasema Mungu amekuacha lakin lipo neno la matumaini kwako bado kwa maana Mungu hajakuacha. Mstr wa 13  Musa anawambia
Msiogope simameni tu, mkauone wokovu wa Bwana atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele (14)  Bwana atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya. Jina la Bwana libarikiwe sana
Mpendwa katka Kristo Yesu Musa wakat anasema maneno haya yeye mwenyewe hakujua Mungu atawaokowa vip na ataanzia wap? Lakin yeye alimwamini Mungu kwamaana alijua safari yao lmepangwa na Mungu. Nami nakueleza yakwamba huenda hujui na huelewi yakwamba Mungu atakupigania vip na ataanzia wap lakin yeye ni Bwana wa majeshi naye ni mshindi!!! Sema Amina! Kubwa!!! Licha ya Musa kusema kwa ujasiri lakin hakujua ni wapi nayeye anziye na ndio maana mstr wa (15) Mungu anamwambia Musa Bwana akamwambia Musa mbona wanililia mim? Wambie wana wa lsraeli waendelee mbele. Hoo haleluya Mungu anamwambia Musa kwa nin unanililia? Kumbe Musa naye wakat anasema maneno yale alikua akilia ndani ya moyo wake lakin kilikua nikilio cha kumwomba Bwana na sio kilio cha kunung'unika kama wana wa lsraeli walivyolia Musa alikuwa akisema tusaidie Bwana usituache!! Lakin alisahau yakwamba anayo fimbo mkononi mwake. Lakin cha ajabu Mungu anamwambia Musa wambie wana wa lsraeli WAENDELEE MBELE, YANI WASONGE MBELE. sio kwamba Mungu hakuiona bahari aliona lakin anasema WAENDELEE MBELE. KUSONGA MBELE nami kwa jina la Yesu Kristo wa nazaret aliyekufa kwa ajili yako na yakwangu nakwambia lazma usonge mbele hata kama mbele kuna bahari hata kama huna matumaini, hata unaona ukuta lakin Kusonga mbele lazma. Kwa maana yupo Bwana wa Majeshi naye anayaona unayopitia naye atatenda mambo makubwa juu yako nawe utanyamaza kimya. Musa anaambiwa lnua fimbo yako, ukanyoshe mkono waki juu ya bahari na kuigawanya nao wana wa lsraeli watapita kati ya bahari katka nchi kavu. Mungu alitenda muujiza mkubwa ambao wana wa lsraeli hawakutegemea nami nakushauri endelea kuomba endelea kuomba wala usichoke maana upo muujiza mkubwa mbele yako. Biblia lnasema katka kitabu cha
Isaya 40:28-31Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana, muumba miisho ya dunia, hazimii wala hachoki akili zake hazichunguziki 29 Huwapa nguvu wazimiao humwongeza nguvu yeye asiye na uwezo. Akili za Mungu hazichunguziki Dada yangu, kaka yangu, Mama yangu mdogo wangu kwa maana wakat wewe unaona bahari kama wana wa lsraeli yeye anaona nchi kavu ndani ya bahari.KUSONGA MBELE LAZMA  NDUGU kwa maana lipo neno la matumaini kutoka katka kitabu cha
Isaya 43:1-3  Umeitwa kwa jina lako upitapo katka maji mengi nitakuwa pamoja nawe, na katka mito haitakugharikisha uendapo katka moto hauteketea wala mwali wa moto hautakuunguza. Hoo!!Haleluya!!!!! Maana yeye ni Bwana Mungu wako ninakwambia kusonga mbele lazma na ni marufuku kukata tama. Kwa maana Bwana anakupa uhakika wakukutetea. Ubarikiwe sana.
By Samuel M Mendulo
Samendulo@gmail.com.
Namba +255656995917 Amen

1 comments:

  1. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete