BWANA YESU APEWE SIFA!!!Mpendwa katka Kristo Yesu aliye Mwana wa Mungu ambaye ndio kifo chake kimetupa haki ya kwenda mbele za Mungu moja kwa moja kupitia jina lake ambalo ni zaid ya majina maana kwa Jina la Yesu lazma kila goti lipigwe!!!
Mpendwa wangu nina matumaini yakua umzima na kama ni mgonjwa pokea uponyaji kwa jina la Yesu.
Karibu tujifunze somo hili ambalo lina kichwa
MUNGU WA KWELI HUJITAMBULISHA MWENYEWE
Sehemu yoyote au mahali popote ambapo Mungu yupo na Mungu huyo ndio muumba vyote huwezi kutumia nguvu wala mapanga au silaha, maana Mungu hujitambulisha mwenyewe kwa matendo yake makuu tena na utisho mkubwa. Kiasi chakwamba hata yule ambaye alikua anaabudu Mungu mwingine tofaut na Mungu aliyeumba mbingu na Nchi lazma akili yakwamba huyu ndio Mungu wa kweli.
YONA 1:1-17
Biblia lnatufundisha habari za Mtumishi wa Mungu Yona lnaeleza kuhusu maagizo ambayo Yona alipewa kutoka kwa Mungu lakin Yona alikaidi maagizo hayo ukisoma mstr wa kwanza na wa pili Unasema Basi neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai kusema,(2) Ondoka uende Ninawi mji ule mkubwa ukapige kelele juu yake kwa maana uovu wao umepanda juu mbele zangu.
Lengo la Mungu alitaka Yona aende ule mji akahubiri habari njema za Mungu ili watu wa ninawi watubu nakuacha njia zao mbaya wapate kumrudia Mungu lakin Yona alitowa hukumu ndani ya moyo wake kwa maana hakutaka waninawi wasamehewe kwa maana maovu yao yalikua makubwa.
Ndipo Yona akaondoka kuelekea Tashrshi ili kujiepusha na Bwana lakin Mungu hakutaka kumwacha Yona naye aende alimfuata mpaka alikokua anaelekea mstr wa, (4) Unasema Lakin Bwana alituma upepo mkuu Baharin lkawa tufani kubwa baharini, hata merikebu lkawa karibu kuvunjika mstr 5) ambao ndio point yetu ya msingi unasema, basi wale mabaharia wakaogopa kila mtu akamwomba mungu wake nao wakatupa baharini shehena iliyojua merikebuni ili kupunguza uzito wake lakin Yona alikua ameshuka pande za ndani ya merikebu akajilaza akapata usingizi .
Kwenye mistr hii miwiri hasa mstr wa (5) Unasema Basi mabaharia wakaogopa kila mmoja akamwomba mungu wake,- Katka mstr huu tunaona kwamba kila baharia alikua na Mungu wake na kila mmoja alimwomba huyo Mungu lakin tufani haikutulia Kwa maana Mungu wa Yona ambaye ndiio Mungu mkuu ndio aliyechafua bahari. Na Yona kwakujua hayo kwamba tufani ni kwa ajili yake alienda pande za chini na kuuchapa usingizi bila waswas wowote. Mpendwa huenda na wewe ndio cha matatizo katka familia yako kwa maana umekimbia kazi ya Mungu nakushauri rudi umpokeye Yesu. Lakin katika yote Yona alipouliza alikubali kwamba tufani ni kwa ajiri yake naye akachaguwa wamtupe baharin. Mstr wa 13 unaonyesha mabaharia wakimlilia Bwana na hapa ni baada ya kugundua kua yupo Mungu mkuu zaid ya miungu waliokua wakiabudu na kuiomba kabla ya tufani, mstr wa 15 unasema basi wakamkamata Yona nakumtupa baharini nayo bahari lkaacha kuchafuka mstr wa 16 ndipo wale watu wakamwogopa Bwana mno wakamtolea Bwana sadaka na nadhiri
Watu hawa ambao ni mabaria waligundua uwepo wa Mungu ambaye nimuweza wa yote baada ya kuona matendo makuu na pale pale walikiri nakuanza kumwomba na baada ya kumtupa Yona baharin na bahari kunyamaza ndipo wakaogopa tena wakamtolea Bwana sadaka na kuweka nadhiri. Mpendwa ninakuambia katka jina la Yesu yakwamba MUNGU HUJITAMBULISHA MWENYEWE.
>>> Nakukaribisha katka huduma ya Maombi Nyumbani kwa Mzee Magongo Kinondoni Mkwajuni. Tunatazamana na nyumba ya Diwani Mhe Kimbita. Njoo tumuombe Mungu kwa pamoja naye atakufungua naye atajidhihirisha kwako kama alivyojidhirihidha kwa mabaharia, kupitia neno lake pamoja na maombi. Kwa mawasiliano zaidi tuma msg au piga
+255656995917 Goba unashuka kituo cha Contena halaf piga cmu.
>> Mungu akubariki sana Amen<<
Mpendwa wangu nina matumaini yakua umzima na kama ni mgonjwa pokea uponyaji kwa jina la Yesu.
Karibu tujifunze somo hili ambalo lina kichwa
MUNGU WA KWELI HUJITAMBULISHA MWENYEWE
Sehemu yoyote au mahali popote ambapo Mungu yupo na Mungu huyo ndio muumba vyote huwezi kutumia nguvu wala mapanga au silaha, maana Mungu hujitambulisha mwenyewe kwa matendo yake makuu tena na utisho mkubwa. Kiasi chakwamba hata yule ambaye alikua anaabudu Mungu mwingine tofaut na Mungu aliyeumba mbingu na Nchi lazma akili yakwamba huyu ndio Mungu wa kweli.
YONA 1:1-17
Biblia lnatufundisha habari za Mtumishi wa Mungu Yona lnaeleza kuhusu maagizo ambayo Yona alipewa kutoka kwa Mungu lakin Yona alikaidi maagizo hayo ukisoma mstr wa kwanza na wa pili Unasema Basi neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai kusema,(2) Ondoka uende Ninawi mji ule mkubwa ukapige kelele juu yake kwa maana uovu wao umepanda juu mbele zangu.
Lengo la Mungu alitaka Yona aende ule mji akahubiri habari njema za Mungu ili watu wa ninawi watubu nakuacha njia zao mbaya wapate kumrudia Mungu lakin Yona alitowa hukumu ndani ya moyo wake kwa maana hakutaka waninawi wasamehewe kwa maana maovu yao yalikua makubwa.
Ndipo Yona akaondoka kuelekea Tashrshi ili kujiepusha na Bwana lakin Mungu hakutaka kumwacha Yona naye aende alimfuata mpaka alikokua anaelekea mstr wa, (4) Unasema Lakin Bwana alituma upepo mkuu Baharin lkawa tufani kubwa baharini, hata merikebu lkawa karibu kuvunjika mstr 5) ambao ndio point yetu ya msingi unasema, basi wale mabaharia wakaogopa kila mtu akamwomba mungu wake nao wakatupa baharini shehena iliyojua merikebuni ili kupunguza uzito wake lakin Yona alikua ameshuka pande za ndani ya merikebu akajilaza akapata usingizi .
Kwenye mistr hii miwiri hasa mstr wa (5) Unasema Basi mabaharia wakaogopa kila mmoja akamwomba mungu wake,- Katka mstr huu tunaona kwamba kila baharia alikua na Mungu wake na kila mmoja alimwomba huyo Mungu lakin tufani haikutulia Kwa maana Mungu wa Yona ambaye ndiio Mungu mkuu ndio aliyechafua bahari. Na Yona kwakujua hayo kwamba tufani ni kwa ajili yake alienda pande za chini na kuuchapa usingizi bila waswas wowote. Mpendwa huenda na wewe ndio cha matatizo katka familia yako kwa maana umekimbia kazi ya Mungu nakushauri rudi umpokeye Yesu. Lakin katika yote Yona alipouliza alikubali kwamba tufani ni kwa ajiri yake naye akachaguwa wamtupe baharin. Mstr wa 13 unaonyesha mabaharia wakimlilia Bwana na hapa ni baada ya kugundua kua yupo Mungu mkuu zaid ya miungu waliokua wakiabudu na kuiomba kabla ya tufani, mstr wa 15 unasema basi wakamkamata Yona nakumtupa baharini nayo bahari lkaacha kuchafuka mstr wa 16 ndipo wale watu wakamwogopa Bwana mno wakamtolea Bwana sadaka na nadhiri
Watu hawa ambao ni mabaria waligundua uwepo wa Mungu ambaye nimuweza wa yote baada ya kuona matendo makuu na pale pale walikiri nakuanza kumwomba na baada ya kumtupa Yona baharin na bahari kunyamaza ndipo wakaogopa tena wakamtolea Bwana sadaka na kuweka nadhiri. Mpendwa ninakuambia katka jina la Yesu yakwamba MUNGU HUJITAMBULISHA MWENYEWE.
>>> Nakukaribisha katka huduma ya Maombi Nyumbani kwa Mzee Magongo Kinondoni Mkwajuni. Tunatazamana na nyumba ya Diwani Mhe Kimbita. Njoo tumuombe Mungu kwa pamoja naye atakufungua naye atajidhihirisha kwako kama alivyojidhirihidha kwa mabaharia, kupitia neno lake pamoja na maombi. Kwa mawasiliano zaidi tuma msg au piga

>> Mungu akubariki sana Amen<<
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.